forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
774 B
Markdown
32 lines
774 B
Markdown
# Bwana Yahwe asema hivi
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:5.
|
|
|
|
# Nitaufanya mwisho wa watu wa Misri
|
|
|
|
"nitafanya hivyo ili Misri isiwe na watu wengi."
|
|
|
|
# kwa mkono wa Nebukadreza
|
|
|
|
Nebukadreza atakuwa yule ambaye aletaye hii hukumu.
|
|
|
|
# Yeye pamoja na jeshi lake ... italetwa kuiharibu nchi
|
|
|
|
"nitamleta Nebukadreza na jeshi lake ... kuingamiza nchi"
|
|
|
|
# Yeye pamoja na jeshi lake, hofu ya mataifa
|
|
|
|
Yahwe anamuita Nebukadrea "hofu ya mataifa" kwa sababu mataifa yote yana hofu kubwa ya jeshi lake.
|
|
|
|
# kuiangamiza nchi
|
|
|
|
"hivyo wataiangamiza nchi." Yahwe atamleta Nebukadreza na watu wake ili waiangamize nchi.
|
|
|
|
# watafuta panga zao juu ya Misri
|
|
|
|
"pigana juu ya Misri"
|
|
|
|
# jaza nchi kwa maiti za watu
|
|
|
|
Hii ni kutia chumvi kuonyesha kwamba Wababeli watawaua Wamisri wengi sana.
|