forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
421 B
Markdown
16 lines
421 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe akaanza kumweleza Ezekieli kuhusu uzinifu wa mke wake Oholiba, dada yake na Ohola.
|
|
|
|
# Oholiba
|
|
|
|
Hili ni jina la kike linalomaanisha "hima yake yu katikati yake."
|
|
|
|
# waliokuwa wamevaa ngua za ushawishi, walikuwa watu waendesha farasi
|
|
|
|
Maneno haya yote yanaelezea watu ambao ni matajiri. "waliokuwa matajiri"
|
|
|
|
# Ilikuwa kama kwa dada wote
|
|
|
|
"Dada wote wakawa najisi kupitia matendo yao ya ukahaba"
|