forked from WA-Catalog/sw_tn
696 B
696 B
Bwana Yahwe asema hivi
Tazama tafsiri yake katika 5:5.
hirizi
vitu ambavyo vinavyoaminika vina nguvu ya muujiza
kukamata
"kukamata"
kuyakamata kwa hila maisha ya watu kana kwamba wamekuwa ndege ... watu ambao umewakamata kama ndege
Yahwe analinganisha mapambo ya unabii kukamata kwa ajili ya ndege.
nitazichana kutoka kwenye mikono yenu
Neno "mikono" inarejea inakuja kutawaliwa na unabii. Waongo watatumia utawala wa watu wa Israeli ni kama mikono ambayo imewakamata kurudi kutokana na kukimbia.
havitakamatwa tena katika mikono wako
Kusema hawatakamatwa ni sawa kama kusema watakuwa huru.
kujua kwamba mimi ndimi Yahwe
"kujua kwamba mimi ndimi Yahwe, Mungu wa kweli"