forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
372 B
Markdown
12 lines
372 B
Markdown
# katika giza
|
|
|
|
"usiku wakati kuna giza"
|
|
|
|
# Nitausambaza wavu wangu juu yake naye atanaswa kwenye mtego wangu
|
|
|
|
Neno "wavu" na "mtego" yametumika kwa sababu hii ni njia tofauti kukamata mnyama. Mungu anajua kiongozi wa Yerusalemu atafanya nini na ameweka matukio ili kwamba anyakuliwe kama anapojaribu kukimbia.
|
|
|
|
# nitamleta hata Babeli
|
|
|
|
"nitamfanya achuliwe kwenda Babeli"
|