forked from WA-Catalog/sw_tn
760 B
760 B
Maelezo ya Jumla:
Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu ono lililoelezwa katika 8:1.
kueleka kuba
"kuelekea paa iliyofunikwa"
kerubi
mnyama mwenye mabawa manne
kama rangi ya samawati
Rangi ya samawati ni jiwe la thamani lenye rangi ya blii au kijani.
mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi
"inayofanana kama kiti cha enzi"
mtu aliyevaa nguo ya kitani
imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto.
Nenda kati ya magurudumu
Tanzama katika sura ya 1:15.
vipande vya mbao vilivyoungua
Hivi ni vipande vya mbao vilivyobaki baada ya moto. Ni vyeusi, vinang'aa rangi nyekundu na chungwa wanapokuwa vyamoto sana.
watawanye juu ya nchi
"wanyunyize juu ya mji" au "watawanye juu ya mji"