Bezaleli akafanya ... kwa ajili ya upande kuelekea kusini
Kwa 36:20-23ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:15
mikono kumi ... mkono mmoja na nusu
"mikono 10" ... 1.5"
ndimi mbili zilizounganishwa
Ndimi ni kipande kidogo cha mbao kinacho tokeza mwisho wa mbao ilikuwa salama