sw_tn/exo/34/18.md

272 B

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

siku saba

"siku 7"

mwezi wa Abibu

Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi.