forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
512 B
Markdown
16 lines
512 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kuongea na Musa. Hapa ana mwambia nini Musa na watu wafanye.
|
|
|
|
# wata kuwa mtego kwako
|
|
|
|
Watu wanao jaribu wengine kufanya dhambi wana zungumziwa kama ni mtego.
|
|
|
|
# ambaye jina lake ni Uwivu
|
|
|
|
Neno "jina" hapa la wakilisha tabia ya Mungu.
|
|
|
|
# Yahweh, ambaye jina lake ni Uwivu
|
|
|
|
Neno "Uwivu" hapa lina maana ya kuwa Mungu anajali kutunza hesima yake. Kama watu wake wakiabudu miungu mingine, ana poteza heshima, kwasababu watu wasipo muheshimu, watu wengine pia hawata muheshimu.
|