sw_tn/exo/27/07.md

300 B

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua

Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.

ulivyooneshwa mlimani

Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.