sw_tn/exo/23/23.md

192 B

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Haupaswi ... kufanya wanavyo fanya

Waisraeli hawapaswi kuishi kama watu wanao muabudu Mungu mwingine.