forked from WA-Catalog/sw_tn
559 B
559 B
baba mkwe wake Musa
Hii ya husu baba wa mke wa Musa.
akamchukuwa Zipora, mke wa Musa ... na wana wake wawili
Maana zinazo wezekana ni 1) Yethro alimchukuwa Zipora na wana wake wawili kwa Musa, au 2) Yethro alimkaribisha awali Zipora na wana wake wawili.
baada ya kumpeleka nyumbani
Hichi ni kitu Musa alicho fanya hapo awali. Maana yote yaweza fanywa wazi.
Gershomu
Huyu ni mwana wa Musa na Zipora, ambaye jina lake lina maana ya "mgeni"
Eliezeri
Huyu ni mwana wa Musa na Zipora ambaye jina lake lina maana ya "Mungu ndiye anaye ni saidia"