sw_tn/exo/15/12.md

305 B

mkono wako wa kulia

Maneno "mkono wakulia" ya wakilisha nguvu kuu ya Mungu.

Ulinyoosha mkono wako wa kulia

Musa anaongea kuhusu Mungu kusababisha kitu kitokee kana kwamba Mungu alinyoosha mkono wake.

dunia ikawameza

Musa ana nafsisha dunia kana kwamba inaweza kumeza au kurarua kwa mdomo wake.