sw_tn/est/09/15.md

273 B

siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari

Adari ni jina la mwezi wa kumi na mbili na mwezi wa mwisho kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na nne karibia na mwezi Machi.

Majimbo

Tafsiri hii kama ulivyotafsiri hii katika 1:1

elfu sabini na tano

sabini na tano 75000