sw_tn/est/03/12.md

515 B

siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza

Huu ni mwezi wa kwanza wa Kalendda uya Kebrania. Siku ya kumi na tatu ni karibu na mwanzo wa Mwezi Aprili katika kalenda za Magharibi.

wasimamizi wa majimbo wa mfalme

"wasimamizi wa majimbo" Tumia neno lile lile lililotumika kwa jimbo katika 1:1.

siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili (ambao ni mwezi wa Adari)

Adari" ni jina la kumi na mbili na mwezi wa mwisho wa kalenda ya Kiebrania. Kumi na tatu ni karinu na mwanzo wa machi kwa kalenda za Magharibi.