sw_tn/est/03/07.md

491 B

Katika mwaka wa kwanza (ambao ni mwezi wa Nisani)

"Nisani" ni jian la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Ni sehemu ya mwisho ya wakati wa Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda ya Kimagharibi.

wakapiga Puri/ kura

"wakapiga kura"

mwezi wa kumi na mbili (mwezi wa Adari)

"Adari" ni jina kumi na mbili na mwezi wa mwisho wa kalenda ya kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa sehemu ya mwisho ya Februari na sehemu ya kwanza ya machi katika kalenda za Magharibi.