forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
358 B
Markdown
16 lines
358 B
Markdown
# Abihali
|
|
|
|
"Abihaili"alikuwa baba yake na Esta na mjomba wa Modekai.
|
|
|
|
# Hegai
|
|
|
|
Tumia neno lile lile liliotumika katika 2:3
|
|
|
|
# mwezi wa kumi, ambao ni mwezi wa Teneti
|
|
|
|
"Tibeti" ni jina la mwezi wa kumi kwa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa sehemu ya mwisho wa Desemba na sehemu ya kwanza ya January kwa kalenda ya Magharibi.
|
|
|
|
# mwaka wa saba
|
|
|
|
"mwaka namba7"
|