sw_tn/eph/06/19.md

676 B

sentensi unganishi

Paulo anawaomba kuomba kwa ajili ya ujasiri wake katika kusema injili wakati akiwa gerezani na akasema anamtuma Tikiko ili kuwafariji. Kisha alitoa baraka za amani na neema kwa waumini wote wanaompenda Yesu.

ili niweze kupewa ujumbe

"Kwamba Mungu anipe neno" au "Mungu atanipa ujumbe"

ninapofungua mdomo wangu ili kuufanya ujulikane kwa ujasiri

"Ninapoongea kufafanua kwa ujasiri"

kwa sababu hii mimi ni balozi niliyefungwa minyororo

Niko gerezani sasa kwa sababu ya kuwa mwakilishi wa Injili"

kwamba katika kifungo changu niseme kwa ujasiri kama ninavyowiwa kusema

"Kwamba niseme ujumbe wa Mungu kwa ujasiri wakati nikiwa humu gerezani"