forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
295 B
Markdown
8 lines
295 B
Markdown
# damu na nyama
|
|
|
|
Hii fafanuzi inahusiana na watu, siyo roho ambazo hazina mwili wa Binadamu.
|
|
|
|
# kwa hiyo, vaeni silaha zote za Mungu
|
|
|
|
wakristo wanapaswa kutumia raslimali za kukinga ambazo Mungu amewapa katika kupigana na shetani kwa njia ile askari hubeba silaha ili kujilinda dhidi ya maadui.
|