sw_tn/eph/05/03.md

529 B

uovu wa kujamiiana au uchafu au tamaa ya anasa lazima usidokezwe kati yenu, kama ilivyo sahihi kwa waumini

"siruhusu hata mawazo ya uovu wa kujamiina au uchafu au urafi kupatikana kati ya watu wa Mungu"

uchafu wowote

"maadili yoyote yasiyosafi"

kupenda anasa kwa ulafi

NI: "kutamaa kwaajili ya walivynavyo wengine"

kama ilivyosawa kwaajili ya waumini

NI: "tabia zenu daima ziwe zinazofaa kama watu watakatifu wa Mungu"

lazima usidokezwe kati yenu

"lazima usitajwe kati yenu" au "lazima usigundulike kati yenu"