forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.0 KiB
Markdown
36 lines
1.0 KiB
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Paulo anawakumbusha waamini walivyokuwa hapa mwanzo na sasa namna walivyo mbele za Mungu.
|
|
|
|
# Na ninyi mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu
|
|
|
|
Hii inaonyesha ni kwa namna gani watu wana dhambi kiasi cha kushindwa kumtii Mungu kwa namna ile ile wafu wasivyoweza kujishughulisha kimwili tena.
|
|
|
|
# makosa na dhambi zenu
|
|
|
|
Maneno "makosa" na "dhambi" kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. Paulo anayatumia yote pamoja kuweka mkazo wa ukubwa wa dhambi ya watu.
|
|
|
|
# hapo mwanzo mlienenda
|
|
|
|
Hii inaelezea tabia ya namna watu walivyoishi
|
|
|
|
# kwa kumfuata mtawala wa mamlaka ya anga
|
|
|
|
Mtume Paulo anatumia neno "anga" kumaanisha tabia za ubinafsi na ufisadi wa watu waaishio humu duniani.
|
|
|
|
# mtawala wa mamlaka ya anga
|
|
|
|
Hii inamaanisha ibilisi au shetani
|
|
|
|
# roho yake yule
|
|
|
|
Sentensi "roho yake yule" inamaanisha ibilisi au shetani.
|
|
|
|
# Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu, tulikuwa tukifanya mapenzi mwili na ya akili.
|
|
|
|
Maneno "mwili" na "nia" yanawakilisha mwili wote.
|
|
|
|
# wana wa ghadhabu
|
|
|
|
Watu ambao Mungu amewakasirikia
|