sw_tn/ecc/12/06.md

553 B

Mkumbuke

"kumbuka"

kabla ya kamba ya fedha kukatwa ... au torori la maji kuvunjika kisimani

Mwandishi anafananisha kifo na vitu mbali mbali vilivyovunjika. Kifo kitavunja mwili ghafla kama watu wavunjavyo hivi vitu wakati wakivitumia.

kamba ya fedha kukatwa

"mtu anakata kamba ya fedha"

bakuli ya dhahabu kupasuka

"mtu anapasua bakuli la dhahabu"

gudulia kuvunjwa

"Mtu anavunja gudulia"

torori la maji kuvunjika

"mtu anavunja torori la maji"

mavumbi kurudia aridhini

Hapa neno "mavumbi" inamaanisha mwili wa binadamu uliooza.