sw_tn/ecc/08/12.md

558 B

mara mia moja

"Mara 100"

itakuwa vyema kwa wale wanao muheshimu Mungu

"maisha yataenda vyema kwa wale wanaomheshimu Mungu"

wanao mheshimu Mungu, wanaouheshimu uwepo wake

Misemo hii miwili ina maana moja na imeunganishwa kwa ajili ya msisitizo.

maisha yake hayatarefushwa

"Mungu hatarefusha maisha yake"

Siku zake kama kivuli kitowekacho

Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi analinganisha urefu wa maisha mtu muovu na kivuli kinachopita upesi au 2) ubora au furaha ya maisha hutoweka kama mtu muovu, hakuna kitu dhabiti katika maisha yake.