Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la lawi, ambapo alianza kufanya katika 33:8.
yako ... lako ... yako ... lako
Musa anazungumza na Yahwe, kwa hiyo maneno haya yote ni katika umoja.