forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
816 B
Markdown
24 lines
816 B
Markdown
# Wakati unapokuja
|
|
|
|
Hapa "kuja" kunaweza kutofasiriwa kama "kwenda" au "kuingia"
|
|
|
|
# haupaswi kujifunza kuchunguza machukizo ya mataifa hayo
|
|
|
|
Mungu achukia shughuli za kidini za watu kwa mataifa yanayowazunguka. Anawazingatia kuwa mbaya sana. Hapa "mataifa" uwakilisha watu.
|
|
|
|
# haipaswi kupatikana kati yenu yeyote
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Pasiwepo miongoni mwenu"
|
|
|
|
# kumweka kijana wake au binti wake kwenye moto
|
|
|
|
"kutoa dhabihu watoto wake kwenye moto juu ya madhabahu"
|
|
|
|
# yoyote atumiae uchawi ...aongea na roho
|
|
|
|
Hawa ni watu tofauti wanaotumia uchawi. Mungu amekataza kila aina ya uchawi. Kama hauna neno kwa aina hii ya watu, inaweza kusemwa kwa ujumla. "yeyote atumiae uchawi kujaribu kungundua nini kitatokea badae, kuelezea, au kuongea na roho wafu"
|
|
|
|
# kufungua
|
|
|
|
kutumia uchawi kutabili baadaye
|