forked from WA-Catalog/sw_tn
570 B
570 B
Haupaswi kula kitu chochote chukizo
Watu wa Israeli hakuwapaswa kula kitu chochote ambacho Mungu alisema hakikua kizuri kwa kuliwa.
paa, kulungu na kulungu wa kiume
Hizi ni aina za paa. Kama katika lugha yako hauna neno kwa kila mnyama inaweza kutofasiriwa kama "aina yote ya paa"
Kulungu
Huyu ni mnyama wa mwituni akiwa na miguu mirefu mwembamba ambayo inaweza kukumbia kwa haraka.
Kulungu wa kiume
aina ya paa
bebe, na swala
Wote hawa ni aina ya swala. Kama lugha yako haina neno kwa ajili ya mnyama inaweza kutofasiriwa kama "aina yote ya swala."