forked from WA-Catalog/sw_tn
885 B
885 B
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Wenzake wengine waovu wamekwenda kati yenu
Maneno haya "kati yenu" umaanisha kwamba wanaume hawa waovu walikuwa Waisraeli walioishi kwenye jamii zao.
wamewaondoa wenyeji wa jiji lao na kusema tuache na kuabudu miungu mingine ambayo hamjui
Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
amewaondoa wenyeji mbali na mji wao
Mtu anasababisha mtu mwingine kuacha kumtii Yahwe husemwa kama mtu aliyemsababisha mtu mwingine kimwili kugeuka na kumwacha Yahwe
kuchunguza ushahidi, kufanya utafutaji, na kuchunguza vizuri
Haya maneno yote umaanisha kimsingi kitu kilekile. Musa anasisitiza kwamba wanapaswa kwa umakini kujua nini kilichotokea kweli katika mji
kwamba kitu hicho cha machukizo kimefanyika kati yenu
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kwamba watu wa mji wamefanya kitu kibaya"