forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
944 B
Markdown
24 lines
944 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli
|
|
|
|
# Kama mtayashika kwa bidii maagizo haya yote ambayo ninawaamuru nyinyi, ili kwamba myafanye
|
|
|
|
"Kama mnakuwa makini kufanya kila kitu nilichokuamuru"
|
|
|
|
# tembea katika njia zake zote
|
|
|
|
Namna gani Yahwe anahitaji mtu aishi na kutenda inazungumza kama walikuwa njia au barabara ya Yahwe. Mtu kumtii Yahwe kunasemwa kama alikuwa anatembea kwenye njia au barabara ya Yahwe.
|
|
|
|
# kushikama naye
|
|
|
|
Kuwa na ushirika na Yahwe na kumtegemea yeye kunazungumza kama mtu anayeshikamana na Yahwe.
|
|
|
|
# yote haya mataifa toka mbele yako,na utawafukuza mataifa
|
|
|
|
Hapa "mataifa" uwakilisha makundi ya watu tayari yanaishi huko Kanaani. "Yote haya makundi ya watu kutoka mbele yako, na utachukua ardhi kutoka makundi ya watu"
|
|
|
|
# Kubwa na nguvu zaidi kuliko ninyi
|
|
|
|
Ingawa jeshi la Israeli ni dogo na dhaifu zaidi kuliko vikundi vya watu wanaoishi Kanaani, Yahwe atawawezesha watu wa Israeli kuwashinda.
|