forked from WA-Catalog/sw_tn
702 B
702 B
Maelezo ya jumla
Malaika anaendelea kuongea na Danieli.
Ana heri mtu yule anayengojea
"amebarikiwa mtu ambaye anasubiri" au "ana heri yeyote anayengojea"
anayengojea
"kuvumilia" au "kubakia mwaminifu"
siku 1,335
Mahali hapa "siku" inarejelea kipindi cha muda. Mara nyingine hueleweka kama siku, ingawa pia ina maana ya miaka.
Unapaswa uondoke
"Danieli, lazima uende" Hii inamrejelea Danieli kuendelea kuishi na kumtumikia mfalme mpaka muda uliopangwa wa kifo chake.
utapumzika
Hii ni njia ya upole ya kusema kuwa "utakufa"
Utainuka
Hii inarejelea Ufufuo wa kwanza wa wafu wakati ambao watu wenye haki watafufuliwa.
ehemu uliyopewa
"sehemu ambayo Mungu amekupatia wewe"