sw_tn/dan/12/03.md

1.0 KiB

watang'ara kama mng'ao wa anga la juu,

Hii inawarejelea watu wa Mungu wakiwa wamejawa na utukufu wake kwahiyo watang'aa kama anga wakati juu likiwa linaangaza.

wale wenye kuwaelekeza wengine katika haki

Wale ambao huwasaidia wengine kuelewa kwamba wametengwa na Mungu wanasemwa kana kwamba walikuwa wanabadili mwelekeo walikuwa wakielekea. "ambaye huwafundisha wengine waishi katika haki"

watakuwa kama nyota milele na milele

Watu hawa watang'aa kama nyote. Hii ni tabia ya watu waliojawa na utukufu wa Mungu.

yafunge maneno haya; kihifadhi kitabu kikiwa kimetiwa chapa

Kuna mambo ambayo Danieli alikuwa ameoneshwa na kufunzwa na ya kwamba Danieli alikuwa ameambiwa kwamba asiyafunue katika kitabu hiki.

nyakati za mwisho

"siku za mwisho" au "mwisho wa ulimwengu"

Watu wengi watakimbia huku na kule, na maarifa yataongezeka.

Mambo haya yanaonekana kutokea wakati wa kufungwa kwa kitabu. Hii yaweza kuwekwa wazi. "Kabla ya kutokea haya, watu wengi watasafiri hapa na kule, wakijifunza mengi na mengi zaidi kuhusu vitu vingi"