sw_tn/dan/12/01.md

633 B

Maelezo ya jumla

Malaika anaendelea kumwagiza Danieli. Alianza katika 10:20

Mikaeli, jemedari mkuu

Mikaeli ni malaika mkuu. Mahali hapa pia amepewa jina jingine "jemedari mkuu"

watu wako wataokolewa

Mungu alifanya kitendo cha kuwaokoa watu. " Mungu ataokoa watu wako"

yeyote ambaye jina lake litapatikana katika kitabu

Mungu hufanya kazi ya kuandika katika kitabu. "wale ambao majina yao Mungu ameyaandika katika kitabu"

watu wako wataokolewa

Hii inarejelea tukio kubwa la kiroho ambapo watu wa Mungu watapewa maisha mapya, wote walio hai na walio kufa, na watu waovu watakatiliwa mbali katika hukumu ya milele.