forked from WA-Catalog/sw_tn
699 B
699 B
wakati wa mwisho
"siku za mwisho" au " mwisho wa ulimwengu"
mfalme wa Kusini ...... Mfalme wa Kaskazini
Virai hivi vimesimama hapa kuwakilisha wafalme na majeshi yao.
atamshambulia
Hili ni shambulio la vurugu la jeshi linasemwa kana kwamba ni dhoruba imetokea.
kuwagharikisha
Kitendo cha jeshi kusambaa katika nchi kunasemwa kana kwamba ni gharika limetokea.
kupita katikati
jeshi hitazuiliwaa na chochote.
nchi ya uzuri,
Hii inarejelea nchi ya Israeli.
wataanguka
Mahali hapa kuanguka kuna maana ya kitendo cha kufa.
Lakini watu hawa watatoroka kutoka katika mkono wake
Mahali hapa "mkono" una maana ya nguvu. "Lakini watu hawa watatoroka kutoka katika nguvu zake"