sw_tn/dan/11/40.md

699 B

wakati wa mwisho

"siku za mwisho" au " mwisho wa ulimwengu"

mfalme wa Kusini ...... Mfalme wa Kaskazini

Virai hivi vimesimama hapa kuwakilisha wafalme na majeshi yao.

atamshambulia

Hili ni shambulio la vurugu la jeshi linasemwa kana kwamba ni dhoruba imetokea.

kuwagharikisha

Kitendo cha jeshi kusambaa katika nchi kunasemwa kana kwamba ni gharika limetokea.

kupita katikati

jeshi hitazuiliwaa na chochote.

nchi ya uzuri,

Hii inarejelea nchi ya Israeli.

wataanguka

Mahali hapa kuanguka kuna maana ya kitendo cha kufa.

Lakini watu hawa watatoroka kutoka katika mkono wake

Mahali hapa "mkono" una maana ya nguvu. "Lakini watu hawa watatoroka kutoka katika nguvu zake"