sw_tn/dan/11/38.md

341 B

mungu wa ngome

Huenda mfalme aliamini kwamba huyu mungu wa uongo angemsaidia kuzishambulia ngome za watu wengine na kuitunza ngome yake.

badala ya haya

Neno "haya" linarejelea miungu iliyotajwa

ataigawanya nchi kama thawabu

Maana zinazokubalika ni 1)"atawapa wafuasi wake nchi kama thawabu au 2) ataiuza nchi kwa wafuasi wake.