sw_tn/dan/11/36.md

894 B

Mfalme atafanya kutokana na matakwa yake

Mfalme atafanya chochote akitakacho"

Mfalme

Hii inamrejelea mfalme wa Kaskazini.

Atajiinua mwenyewe na kujifanya mkubwa

Kirai "Atajiinua mwenyewe" na "kujifanya kuwa mkubwa" vina maana sawa na vinaonesha kwamba mfalme atakuwa na kiburi.

Atajiinua mwenyewe

Mahali ina maana ya kuwa na kiburi.

kujifanya mkubwa

Hapa ina maana ya kujifanya kuwa mtu wa muhimu na mwenye nguvu.

atasema vitu vibaya

"vitu vya ajabu" au "vitu ya kusikitisha"

mpaka pale ghadhabu itakapokuwa imekamilika

Kirai hiki kinaonesha picha kwamba Mungu huhifadhi ghadhabu mpaka pale stoo yake itakapokuwa imejaa na kisha atakuwa tayari sawasawa na hasira hiyo.

Mungu wa miungu

Hii inamrejelea Mungu mmoja na wa kweli. "Mungu mkuu" au "Mungu pekee wa kweli"

mungu anayependwa na wanawake

Hii inaonekana kurejelea mungu wa kipagani aliyeitwa Tamuzi.