forked from WA-Catalog/sw_tn
894 B
894 B
Mfalme atafanya kutokana na matakwa yake
Mfalme atafanya chochote akitakacho"
Mfalme
Hii inamrejelea mfalme wa Kaskazini.
Atajiinua mwenyewe na kujifanya mkubwa
Kirai "Atajiinua mwenyewe" na "kujifanya kuwa mkubwa" vina maana sawa na vinaonesha kwamba mfalme atakuwa na kiburi.
Atajiinua mwenyewe
Mahali ina maana ya kuwa na kiburi.
kujifanya mkubwa
Hapa ina maana ya kujifanya kuwa mtu wa muhimu na mwenye nguvu.
atasema vitu vibaya
"vitu vya ajabu" au "vitu ya kusikitisha"
mpaka pale ghadhabu itakapokuwa imekamilika
Kirai hiki kinaonesha picha kwamba Mungu huhifadhi ghadhabu mpaka pale stoo yake itakapokuwa imejaa na kisha atakuwa tayari sawasawa na hasira hiyo.
Mungu wa miungu
Hii inamrejelea Mungu mmoja na wa kweli. "Mungu mkuu" au "Mungu pekee wa kweli"
mungu anayependwa na wanawake
Hii inaonekana kurejelea mungu wa kipagani aliyeitwa Tamuzi.