sw_tn/dan/11/28.md

663 B

moyo wake ukipinga vikali agano takatifu

Hii inarejelea tamaa ya mfalme ya kupinga agano la Mungu na waisraeli. Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Atafahamika kwa kupinga agano takatifu."

moyo

Hii inarejelea tamaa za mfalme

agano la takatifu

Mahali hapa "takatifu" inaelezea juu ya agano la Mungu na Israeli. Ina maana kwamba agano lazoma liheshimiwe na liheshimiwe kwasababu linatoka kwa Mungu mwenyewe.

ukipinga vikali agano takatifu

Hamu ya mfalme kutenda kinyume na agano takatifu inawakilisha hamu yake kuwazuia waisraeli waache kulitii agano takatifu.

atatenda

Hii ina maana kwamba mfalme atafanya matendo fulani katika Israeli.