forked from WA-Catalog/sw_tn
663 B
663 B
moyo wake ukipinga vikali agano takatifu
Hii inarejelea tamaa ya mfalme ya kupinga agano la Mungu na waisraeli. Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Atafahamika kwa kupinga agano takatifu."
moyo
Hii inarejelea tamaa za mfalme
agano la takatifu
Mahali hapa "takatifu" inaelezea juu ya agano la Mungu na Israeli. Ina maana kwamba agano lazoma liheshimiwe na liheshimiwe kwasababu linatoka kwa Mungu mwenyewe.
ukipinga vikali agano takatifu
Hamu ya mfalme kutenda kinyume na agano takatifu inawakilisha hamu yake kuwazuia waisraeli waache kulitii agano takatifu.
atatenda
Hii ina maana kwamba mfalme atafanya matendo fulani katika Israeli.