sw_tn/dan/11/25.md

1.2 KiB

Ataamsha nguvu zake na moyo wake

Nguvu na moyo (ni ujasiri) vinaongelewa kana kwamba walikuwa ni watu ambao mtu fulani angeweza kuwaamsha ili watendo tendo.

moyo

Mahali hapa unawakilisha ujasiri

atapigana vita

"atapigana kinyume chake"

jeshi kubwa

"pamoja na jeshi kubwa ambalo atalikusanya"

hataweza kusimama

Kutokusimama kunawakilisha hali ya kushindwa.

wanaokula chakula chake kizuri

Hii inarejelea washauri wa mfalme. Ilikuwa na kawaida kwa washauri waliominiwa na mfalme kula chakula pamoja naye.

jeshi lake litakatiliwa mbali kama gharika,

Mahali hapa kushindwa kabisa kwa jeshi kunasemwa kana kwamba lilikuwa ni gharika la maji ambalo hulifutilia mbali.

wengi wao watauawa

Hii inarejelea kufa katika vita.

wakiwa na mioyo yao imejawa na uovu kinyume na mwenzake

Mahali hapa neno "moyo" linawakilisha tamaa za mtu. Tamaa zinaongelewa kana kwamba kilikuwa ni kitu ambacho mtu anaweza kukiweka katika mkao fulani.

watakaa katika meza moja

Kukaa katika meza moja kuna maanisha kitendo cha kuongea pamoja na mtu mwingine.

haitakuwa na maana yoyote

"lakini mazungumzo yao hayatawasaidia"

Kwa kuwa mwisho utatokea katika kipindi ambacho kimeshapangwa

Hii inatuambia kwamba mkutano wao hautakuwa na mafanikio.