sw_tn/dan/11/03.md

1019 B

Maelezo ya jumla

Malaika anaendelea kuongea na Danieli.

Mfalme wenye nguvu atainuka

Wazo la kusimama au kuinuka mara kwa mara limetumika kwa ajili ya mtu anayekuwa na nguvu.

ambaye atatawala ufalme mkubwa

Maana zinazokubalika ni 1)ukubwa wa ufalme huu utakuwa wa ajabu, au 2) kwamba mfalme angetawala ufalme wake kwa nguu kubwa.

falme wake utavunjika na utagawanyika

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ufalme wake utavunjika na kugawanyika" au "ufalme wake utavunjika katika vipande vipande"

pepo nne za mbinguni

Angalia jinsi ulivyofasiri 7:1

lakini hawatakuwa wazao wake mwenyewe,

Wazo la kutokugawanywa linamaanishwa hapa. "Lakini hautagawanywa kwa watoto wake mwenyewe"

falme wake utang'olewa kwa ajili ya wengine tofauti na wazawa wake

Ufalme unaongelewa kana kwamba ni mmea ambao mtu fulani anaweza kuuharibu kwa kuung'oa. Wazo hili laweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "utawala mwingine utaung'oa na kuuharibu ufalme wake, na watu wengine ambao siyo watoto wake watautawala.