forked from WA-Catalog/sw_tn
1019 B
1019 B
Maelezo ya jumla
Malaika anaendelea kuongea na Danieli.
Mfalme wenye nguvu atainuka
Wazo la kusimama au kuinuka mara kwa mara limetumika kwa ajili ya mtu anayekuwa na nguvu.
ambaye atatawala ufalme mkubwa
Maana zinazokubalika ni 1)ukubwa wa ufalme huu utakuwa wa ajabu, au 2) kwamba mfalme angetawala ufalme wake kwa nguu kubwa.
falme wake utavunjika na utagawanyika
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ufalme wake utavunjika na kugawanyika" au "ufalme wake utavunjika katika vipande vipande"
pepo nne za mbinguni
Angalia jinsi ulivyofasiri 7:1
lakini hawatakuwa wazao wake mwenyewe,
Wazo la kutokugawanywa linamaanishwa hapa. "Lakini hautagawanywa kwa watoto wake mwenyewe"
falme wake utang'olewa kwa ajili ya wengine tofauti na wazawa wake
Ufalme unaongelewa kana kwamba ni mmea ambao mtu fulani anaweza kuuharibu kwa kuung'oa. Wazo hili laweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "utawala mwingine utaung'oa na kuuharibu ufalme wake, na watu wengine ambao siyo watoto wake watautawala.