forked from WA-Catalog/sw_tn
555 B
555 B
watu wangu
"watu wa Israeli ambako mimi ninatokea"
Mlima mtakatifu wa Mungu
Mlima waweza kuwa mtakatifu kwasababu ya hekalu. "mlima ambako kuna hekalu takatifu la Mungu"
mtu Gabrieli
Huy ni Gabrieli yule yule ambaye alionekana katika umbo la Mwanadamu katika 8:15
katika ndoto hapo awali,
Hii yaweza kurejelea maono ya mwanzo ambayo Danieli aliyaona wakati alipokuwa macho.
alipaa kwa kasi kushuka kuja nilipo
"alipaa haraka akija nilipo"
wakati wa sadaka ya jioni
Watu wa Kiyahudi walitoa sadaka kila jioni kabla jua halijazama.