sw_tn/dan/09/20.md

555 B

watu wangu

"watu wa Israeli ambako mimi ninatokea"

Mlima mtakatifu wa Mungu

Mlima waweza kuwa mtakatifu kwasababu ya hekalu. "mlima ambako kuna hekalu takatifu la Mungu"

mtu Gabrieli

Huy ni Gabrieli yule yule ambaye alionekana katika umbo la Mwanadamu katika 8:15

katika ndoto hapo awali,

Hii yaweza kurejelea maono ya mwanzo ambayo Danieli aliyaona wakati alipokuwa macho.

alipaa kwa kasi kushuka kuja nilipo

"alipaa haraka akija nilipo"

wakati wa sadaka ya jioni

Watu wa Kiyahudi walitoa sadaka kila jioni kabla jua halijazama.