sw_tn/dan/09/05.md

699 B

Maelezo ya jumla

Danieli anaendelea kumwomba Mungu juu ya watu wa Israeli.

Tumetenda dhambi na tumefanya yaliyo mabaya

Virai hivi viwili vinaelezea wazo moja katika njia mbili ili kutia mkazo.

Tumeenenda kwa uovu na tumeasi

Virai hivi viwili vinaelezea wazo moja katika njia mbili ili kutia mkazo.

amri na maagizo yako

Maneno haya "amri na maagizo" yana maana moja na yanarejelea sheria zote kwa ujumla.

Hatujawasikiliza watumishi wako

Mahali hapa "hatujawasikiliza" ina maana kwamba hawakuutii ujumbe wao.

kwa jina lako

Neno "jina" linarejea mamlaka ya Mungu. "kuzungumza kwa mamlaka"

watu wote wa nchi

Mahali hapa neno "nchi" linairejelea Israeli. "watu wa Israeli."