sw_tn/dan/08/26.md

8 lines
309 B
Markdown

# Maelezo ya jumla
Malaika anaendelea kumwagiza Danieli juu ya maono ambayo Danieli aliyaona.
# uyafunge maono haya
Malaika anaongea juu ya maono kana kwamba lilikuwa ni gombo ambalo laweza kufungwa kwa chapa ya nta. Na hii humzui kila mtu asiweze kuona kile kilichomo mpaka pale chapa yake itakapovunjwa.