sw_tn/dan/08/22.md

884 B

Na kuhusu pembe iliyovunjika.... pembe zingine nne zilichipuka

"mahali ambapo pembe kubwa ilivunjikia, pembe zingine nne zilizuka"

Maelezo ya jumla

Katika mistari hii, malaika anamwelezea Danieli maana ya mifano ya vitu vile alivyoona katika maono yake. Pembe kiuhalisia zinawawakilisha watawala wa kibinadamu au falme.

falme nne zitakazoinuka kutoka katika taifa lake

Pembe nne zinawakilisha falme mpya nne. Hii yaweza kuwekwa wazi. " zinawakilisha falme nne ambazo ndani yake ufalme wa mfalme wa kwanza utagawanyika."

lakini hazitakuwa na nguvu kubwa

"lakini hazitakuwa na nguvu nyingi kama mfalme aliyewakilishwa na pembe ndefu"

Katika siku zijazo za falme hizo,

Kama falme zile zilipokaribia mwisho"

watakuwa wamefikia kikomo

"wamefikia ukamilifu wao"

uso katili

Hii ina maana kwamba mtu huyo anaonekana akiwa na ukatili au mkaidi aliyekataa kutii.