sw_tn/dan/08/20.md

621 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari hii, malaika anamwelezea Danieli maana ya kimfano ya vitu alivyoviona katika maono yake. Wanyama na pembe kiuhalisia zinawakilisha watawala wa kibinadamu na falme.

pembe mbili ni

"pembe mbili zinawakilisha"

wafalme wa Umedi na Uajemi

Maana zinazokubalika ni 1) hii inarejelea wafalme wa Umedi na Uajemi au 2) hiki ni kiwakilishi cha falme za Umedi na Uajemi.

mfalme wa Ugiriki

Maana zinazokubalika 1) hii inarejelea mfalme wa Ugiriki au 2) hiki ni kiwakilishi cha ufalme wa Ugiriki.

Pembe kubwa katikati ya macho yake

"Pembe kubwa katikati ya macho yake inawakilisha"