sw_tn/dan/08/01.md

847 B

Maelezo ya jumla

Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mtiririko maalumu. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa angali ni mfalme, kabla ya utawala wa Dario na Koreshi ambazo zimeongelewa katika sura ya 6.

Maelezo ya jumla

Katika maono ya Danieli, aliona wanyama waliokuwa ni ishara ya mambo mengine. Baadaye katika maono mtu fulani alimwelezea maana ya ishara hizo.

Katika mwaka wa tatu

"Ndani ya mwaka wa tatu"

niliona maono (baada ya maono ya awali yaliyonipata)

Haya ni maelezo ya nyuma ili kumkumbusha msomaji kwamba haya yalikuwa ni maono ya pili kwa Danieli.

Belshaza

Huyu ni mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada ya baba yake.

ngome

kulindwa na kuhifadhiwa

Shusha....Elamu...Mfereji wa Ulai

Haya ni majina ya sehemu/mahali

Mfereji

Mfereji ni njia nyembamba ya maji iliyotengenezwa na mwanadamu.