forked from WA-Catalog/sw_tn
847 B
847 B
Maelezo ya jumla
Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mtiririko maalumu. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa angali ni mfalme, kabla ya utawala wa Dario na Koreshi ambazo zimeongelewa katika sura ya 6.
Maelezo ya jumla
Katika maono ya Danieli, aliona wanyama waliokuwa ni ishara ya mambo mengine. Baadaye katika maono mtu fulani alimwelezea maana ya ishara hizo.
Katika mwaka wa tatu
"Ndani ya mwaka wa tatu"
niliona maono (baada ya maono ya awali yaliyonipata)
Haya ni maelezo ya nyuma ili kumkumbusha msomaji kwamba haya yalikuwa ni maono ya pili kwa Danieli.
Belshaza
Huyu ni mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada ya baba yake.
ngome
kulindwa na kuhifadhiwa
Shusha....Elamu...Mfereji wa Ulai
Haya ni majina ya sehemu/mahali
Mfereji
Mfereji ni njia nyembamba ya maji iliyotengenezwa na mwanadamu.