sw_tn/dan/07/21.md

437 B

pembe hii

"pembe hii ya nne" Hii inarejelea pembe ambayo imeelezewa katika 7:19

mpaka pale Mzee wa Siku alipokuja, na haki alipewa

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji "mpaka Mzee wa Siku alipokuja na kuleta haki"

Mzee wa Siku

Hili ni jina la Mungu ambalo linatia mkazo kwamba Yeye ni wa milele.

watu watakatifu waliupokea ufalme

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " Mungu aliwapa watu wake watakatifu ufalme wake"