sw_tn/dan/07/06.md

578 B

mnyama mwingine ambaye alionekana kama chui

Huyu hakuwa chui halisi, bali mnyama wa ishara ambaye alikuwa akifanana na chui.

mabawa manne ....vichwa vinne

Mabawa manne na vichwa vinne ni mifano/ishara, lakini maana zake haziko wazi.

alikuwa na vichwa vinne.

"mnyama alikuwa na vichwa vinne"

Alipewa mamlaka ya kutawala

Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mtu fulani alimpa mamlaka ya kutawala"

mnyama wa nne...alikuwa na pembe kumi

Huyu pia si mnyama halisi. Ni mnyama wa mfano.

kusaga saga katika miguuni

"kutembea juu yake na kuvunja vunja''