forked from WA-Catalog/sw_tn
833 B
833 B
Mnyama wa kwanza alikuwa kama simba
Huyu ni mnyama wa ishar, na si mnyama halisi anayeishi.
mabawa yake yalikuwa yamepasuka na alikuwa ameinuliwa katika ardhi na alikuwa amesimama kwa miguu miwili kama mtu
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "mtu fulani alipasua mabawa yake na kumwinua kutoka chini na kumifanya asimame kwa miguu miwili kama binadamu."
Na alipewa akili za kibinadamu
Mahali hapa neno "akili" limetumika kumaanisha "fikra.' Muundo tendaji waweza kutumika. "Mtu fulani alimpa uwezo wa kufikiri kama mtu"
kulikuwa na mnyama wa pili, alikuwa kama dubu
Huyu hakuwa dubu halisi, bali ni mnyama wa ishara ambaye alifanana na dubu.
mbavu
Mifupa mikubwa ya kifuani iliyopinda ambayo imeungana na uti wa mgongo.
aliambiwa
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mtu fulani alimwambia"