sw_tn/dan/07/01.md

747 B

Maelezo ya jumla

Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mpango wa mtiririko wa kawaida. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa akali ni mfalme, kabla ya utawala wa Dario na Koreshi walioongelewa katika sura ya 6.

Maelezo ya jumla

Katika maono ya Danieli, aliona wanyama waliokuwa ni ishara ya mambo mengine. Baadaye katika maono mtu fulani alifafanua maana ya ishara hizo.

Belshaza

Hili ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza, ambaye alikuwa mfalme baada yake.

ndoto na maono

Maneno haya "ndoto na maono" yote yanarejelea ndoto ile ile iliyoelezewa katika sura hii.

pepo nne za mbinguni

"pepo kutoka kila sehemu" au "pepo zenye nguvu kutoka sehemu zote nne za mwalekeo"

zinaitikisa

"piga piga" au "kusababisha mawimbi makubwa"