sw_tn/dan/05/22.md

709 B

Belshaza

Hili lilikuwa ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada yake

haujaunyenyekeza moyo wako

Mahali hapa neno 'moyo' linamwakilisha Nebukadneza mwenyewe.

umwenyewe kinyume cha Bwana

Kitendo cha kuasi kinyume na Mungu kinasemwa kana kwamba ni kujiinua mtu mwenyewe.

kutoka katika nyumba yake

Kirai "nyumba yake" kinaeza kuelezwa kwa uwazi sna "kutoka kwa hekalu la mfalme."

njia zako zote"

"kila kitu uanchokifanya"

Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake

Mahali hapa neno 'pumzi" lina maana ya fedja ma memp "mkono" lina maana ya mamlaka au utawala.

maandishi haya yaliandikwa

Muundo tendaji waweza kutumika. "iliandika ajumbe huu"