sw_tn/dan/05/01.md

608 B

Belshaza

Huyu ni mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada ya baba yake.

elfu moja

"kwa 1,000"

alikunywa divai mbele

"alikkunywa divai akiwa mbele za"

vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu

Hii yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "vyombo vya dhahabu au fedha ambavyo waisraeli walikuwa wamevitengeneza"

vyombo

Hivi vilikuwa vikombe na vifaa vingine ambavyo vilikuwa vidogo kwa mtu kuvishikilia na kuvinywea.

Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua

Kirai hiki kinatumia jina Nebukadneza kurejelea jeshi la mfalme. "Jeshi la Nebukadneza baba yake walikuwa wamevichukua"