forked from WA-Catalog/sw_tn
613 B
613 B
Maelezo ya jumla
Katika mistari ya 34-37 Nebukadneza anaongelea katika nafsi ya kwanza katika kueleza jibu lake kwa Mungu.
katika mwisho wa siku
Hii inarejelea miaka saba katika 4:31
utimamu wa akili nilirudishiwa
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "utimamu wangu ulirudi kwangu"
nilimheshimu na kumtukuza
Maneno yote yanarejelea kitendo kile kile
Kwa kuwa utawala wake ni wa milele, na ufalme wake unadumu katoka katika vizazi vyote hadi vizazi vyote.
Virai vyote viwili vinamaanisha kimsingi kitu kile kile na vimetumika kwa kutia mkazo juu ya jinsi utawala wa Mungu usivyo na mwisho.