sw_tn/dan/04/31.md

624 B

Maelezo ya jumla

Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza

Wakati maneno yakali katika midomo ya mfalme

Nahau hii ina maana kwamba wakati mfalme akiwa akiongea

sauti ilisikika kutoka mbinguni

"alisikia sauti kutoka mbinguni"

"Mfalme Nebukadneza.... umeondolewa kutoka kwako

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mfalme Nebukadneza, amri imetoka kinyume na wewe kuwa ufalme huu si miliki yako"

Utafukuziwa mbali kutoka miongoni mwa watu

Kauli hii yaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "Watu watakufukuza uende mbali nao"

mtu yeyote amtakaye

"Yeyote amchaguaye"